Mtwara Kumekucha: Rpc Amsweka Rumande Mkuu Wa Polisi Wa ... Mfahamu mkuu wa mkoa wa Mtwara | JamiiForums Mkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa ameitisha kikao cha dharura cha wakala wanoajiri madereva wa kiwanda cha Dangote, madereva pamoja na uongozi wa Dangote ili kupata muafaka wa madereva waliogoma kufanya kazi kwa siku ya nane sasa wakilalamikia mikataba mibovu ya kazi. Rc Sendiga Aridhishwa Na Ujenzi Wa Madarasa Ya Uviko 19 ... Home Unlabelled MWONGOZO WA UWEKEZAJI WA MKOA WA MTWARA WAZINDULIWA. Videos. Wilaya ya Kasulu Mjini. #1. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Robert Gabriel leo Ijumaa Juni 11, 2021 amewasili jijini Mwanza kwa ajili ya makabidhiano ya ofisi na mtangulizi wake, Albart Chalamila ambaye uteuzi wake umetenguliwa. Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Mwaka 2022 unawadia, nikiwa hapa Beijing, nawapa nyote salamu za mwaka mpya. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Mjumbe wa Bodi ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Bw. John Jingu katika picha ya pamoja na Wazee wa Baraza la Wazee Mkoa wa Arusha akiwemo mzee wa Kimila Laigwanan Tobiko mara baada ya kikao kilichofanyika Ukumbi wa Mkuu wa Mkoa. Uteuzi wa Anthony Mtaka kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma - makao makuu ya nchi yaliyoinuliwa hadhi zaidi wakati wa Magufuli, unatoa picha ya umuhimu wa eneo hilo kwa vile mkuu huyo mpya wa mkoa huo ni . Klabu ya waandishiwa Habari Mkoa wa Mtwara (MTPC) imempongeza Mwenyekiti wa Klabu ya waandishi wa Habari Mkoa wa Kigoma Bw. Data mpya zitakujia hivi karibuni . The latest Tweets from Radio Ahmadiyya Tanzania (@radio_tanzania). TRFA YAPATA MDHAMINI MPYA, ZAWADI LUKUKI KUTOLEWA KWA LIGI YA MKOA December 30, 2021 Milioni 141 Chenji Ujenzi wa Madarasa Bukombe December 30, 2021 BILIONI 27 ZAPELEKWA JIMBO LA NDANDA KWA AJILI YA KUBORESHA HUDUMA YA UPATIKANAJI WA MAJI December 29, 2021 MADIWANI CHALINZE WAAZIMIA MPANGO WA TARURA KUTENGENEZA BABABARA KWA ZAIDI YA BILIONI 2 … Mkuu mpya wa wilaya ya Masasi mkoani Mtwara Bernard Nduta akipeana mkono na Mkuu wa mkoa, Halima Dendego baada ya kuapishwa hii leo katika ukumbi wa Boma Mkoani Mtwara. Mkuu mpya wa Mkoa wa Dodoma Antony Mtaka leo Mei 21, 2021 amekabidhiwa rasmi ofisi na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa huo Dkt Binilith Mahenge, huku akiwataka watumishi ndani ya Mkoa huo kila mmoja kutimiza majukumu yake kikamilifu na kwa weredi huku akibainisha kuwa elimu ni kipaumbe chake. Mkuu wa mkoa wa Mtwara kushoto Halima Dendego akimwapisha Mkuu wa wilaya ya Masasi, Bernard Nduta kulia ni katibu Tawala msaidizi Utawala na rasilimali, Renatus Mongogwele. Ziara hiyo itaanza tarehe 15 - 21 Septemba, 2021 Mkoani Lindi katika Wilaya zote za Mkoa huo, na kuendelea katika Mikoa ya Mtwara, Ruvuma na . Mhe. Athuman Kihemia na kushoto kwake Mwenyekiti wa Baraza la . Muungwana Blog 2 Jun 11, 2021. Serikali imeombwa na baadhi ya Wabunge wa Mkoa wa Mtwara kutenga fedha kwa ajili ya ukarabati na undelezaji wa majengo ya Mji Mkongwe wa Mikindani ambapo hii leo umetangazwa rasmi kuwa eneo la kitalii lililopo Manispaa ya Mtwara Mikindani. NA K-VIS BLOG/Khalfan Said, Mtwara WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Fredy Mgunda,Iringa. DKT Kebwe mwenye T-shirt akiwa na baadhi ya wajumbe wa kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa naWilaya wakati wanatembelea maeneo yaliyoathirika na mafuriko. ya ujenzi wa majengo inakamilisha ndani ya siku 60 pekee. Dkt Kebwe s.Kebwe Mkuu wa Mkoa wa Morogoro akihamasisha wananchi wa Mkoa huo kulima zao la pamba. Daniel Chongolo atakuwa na Ziara ya Kikazi Mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe akiambatana na Wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa. Aliyeketi kushoto kwa Mgeni rasmi ni Mkuu wa Kitengo cha Tehama na mawasiliano kutoka Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3) bwana Desderi Wengaa na kulia kwa Mgeni rasmi ni . Mkuu wa mkoa wa mtwara halima dendego akimbeba mmoja ya watoto waliokabidhiwa chandarua chenye viuwatilifu ikiwa ni sehemu ya hafla ya. Anuani ya Posta: 544, MTWARA . MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Brigedia Jenerali, Marco Gaguti. Mkuu wa Kituo Kikuu cha Redio na Televisheni cha CMG Atoa Salamu za Mwaka Mpya. Mkoa wa Mtwara ni kati ya mikoa 31 ya Tanzania.Uko katika pembe la kusini-mashariki kabisa la nchi. MKURUGENZI wa Bodi ya Korosho Tanzania CBT, Mfaume Juma, amesema msimu wa ununuzi wa korosho ghafi nchini kwa mwaka 2015/2016 ulifunguliwa rasmi kitaifa September mosi mwaka huu, ambapo mnada wa kwanza ulifanyika oktoba mbili katika kituo cha Mtwara na kwa upande wa kituo cha mkoa wa Lindi ulifanyika otoba 17 mwaka huu. Wilaya ya Kasulu Vijijini. Mshauri wa Magufuli awa DC mpya Mtwara. simu na. HALIMA DENDEGO (RC-MTWARA). Umepakana na Mkoa wa Lindi upande wa kaskazini, Bahari Hindi kwa mashariki, Msumbiji katika kusini na Mkoa wa Ruvuma upande wa magharibi.Mpaka wa kusini ni Mto Ruvuma.. Ukiwa na km² 16,720 Mtwara ni mkoa mdogo katika . 1. Sunday, November 03, 2019. Kassim Majaliwa amezindua Mwongozo wa Uwekezaji Mkoani Mtwara (MIG) katika Kongamano la Uwekezaji naMaonyesho ya Biashara lililofanyika kwenye viwanja vya Chuo Cha Ualimu Mtwara.Mwongozo huo umetayarishwa na Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF) kwa kushirikiana na Mkoa chini ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Umoja waMataifa . Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mtwara . Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Evod Mmanda amefariki Dunia jana saa tano usiku katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara (Ligula), Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo amesema Mmanda aliugua na kulazwa kwa siku mbili na alikuwa anasumbuliwa na changamoto ya upumuaji. Mogomo wa Madereva, RC Byakanwa aitisha kikao cha dharura Mtwara. Zingatieni Sheria ya Mazingira. November 21, 2020. Jenerali Marco Gaguti alisema mkakati huo umekuja wakati muafaka kipindi ambacho serikali imejipanga kuongeza uzalishaji wa . Amefika katika ofisi za mkuu wa mkoa leo saa 4:50 asubuhi na kupokelewa na . Simu: +255 23 2333014 . Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo kesho anaaza ziara ya kikazi ya siku 7 katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na Njombe akiambatana na Wajumbe wa Sekretarieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa. Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa ametoa wito kwa Taasisi, Mashirika na watu binafsi wenye uwezo wa kutengeneza barakoa (Mask) watengeneze kwa wingi. Dr. Lobikieki kissambuMganga mfawidhi ligula hospital. Taarifa iliyotolewa na Makao Makuu ya CCM, Dodoma, imesema ziara hiyo itaanzia katika Wilaya zote za mkoa wa Lindi na kuemdelea . Halima Dendego kwa sasa ni mkuu wa mkoa wa Mtwara. Mwaka 1971 siku ya Sikuku ya Noeli almaarufu Christmas, aliyekuwa Mkuu mpya wa Mkoa wa Iringa, msomi wa Shahada ya Uzamivu (PhD) wa Uchumi wa Kijamaa katika Kilimo ambaye alikuwa amehamishiwa mkoa huo akitokea Mtwara, Dk. Madarasa hayo 452 yamejenga na fedha za Uviko-19 na yapo katika hatua ya umaliziaji. Philemon Sengati baada ya kudumu kwa miaka mitano na Zainab Telack aliyeuongoza mkoa huo tangu mwaka 2016 akipandishwa cheo kutoka kuwa Mkuu wa Wilaya ya Sengerema. Alisema kuwa Mkoa wa Mtwara utakuwa kwa kasi kubwa baada ya wawekezaji wengi kuja kuwekeza mkoani humo ambapo alitaja kuwa kuna kiwanda cha sementi kikubwa Afrika kimeshajengwa kinachomilikiwa na Dangote tajiri mkubwa Afrika, Kiwanda cha mbolea na kiwanda cha dawa ambacho nacho kipo njiani kujengwa kwa kushirikiana na serikali ya Ujerumani hivyo kujiondoa kutoka Mtwara ni kukimbilia umasikini. Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995 . MAKALA: Namwandikia Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa Nimejikuta nimekabwa na hamu kubwa ya kukuandikia Mkuu wa Mkoa wa Mtwara japo sina mambo mengi sana yatakayonifanya nikuchoshe kwa kuyasoma lakini nadhani katika hiki nilichoamua kukiandika utapata jambo hata dogo tu la kulifanyia kazi ingawa nitalazimika kuliandika jambo lenyewe kwa . Kamishna wa Sheria na Uendeshaji wa Magereza, Dkt. Katika uteuzi uliofanywa na Rais Kikwete Jumatano, Novemba 5, 2014 Wakuu wapya wa Mikoa walioteuliwa ni Bi. "Mkuu wa Mkoa wa Mtwara nikamuona siku moja anazungumza kwamba Mkuu huyu wa Wilaya amefariki hatuwezi kusafirisha atazikwa hapahapa, ilinisikitisha sana, wal. Mgeni rasmi Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara bwana Elias Nyamusami. Katika Uteuzi mpya wa wakuu wa mikoa,umewapa nafasi wanajeshi wane kuwa wakuu wa mikoa. Hamjambo! Wilaya ya Kibondo. 250 2270/2502272/2502289. Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Brigedia Jenerali Marco Gaguti ameagiza Halmashauri zote mkoani humo kukamilisha majengo 452 ya madarasa ndani ya saa 48. Marafiki wapendwa: Mwanga wa kwanza wa jua wamwaka mpya unafika duniani. Uwezo wa vitanda ni 250 na watumishi wa taaluma za afya . Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi na katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa. RUWASA NJOMBE WASAINI MIKATABA YA ZAIDI YA Bil.3 KUTEKELEZA MIRADI YA MAJI December 30, 2021 TRFA YAPATA MDHAMINI MPYA, ZAWADI LUKUKI KUTOLEWA KWA LIGI YA MKOA December 30, 2021 Milioni 141 Chenji Ujenzi wa Madarasa Bukombe December 30, 2021 BILIONI 27 ZAPELEKWA JIMBO LA NDANDA KWA AJILI YA KUBORESHA HUDUMA YA UPATIKANAJI WA MAJI December … 15.MTWARA Mtwara Mjini- Mtenga Hassan Selemani Mtwara Vijijini- Hawa Ghasia . Wilaya ya Kigoma-Ujiji. 3050, arusha. Tumeshuhudia mambo makubwa katika historia ya Chama chetu cha Kikomunisti cha China na taifa letu. GELASIUS BYAKANWA ametangaza fulsa ya utalii wilaya ya masasi, Hii ni baada ya kufanikiwa kufika moja ya kilele cha moja ya mlim. HABARI. Akizindua mradi huo kitaifa, mkuu wa mkoa wa Mtwara Bi Halima Dendego amewataka wanawake kuhudhuria kliniki wakati wa ujauzito ili kupata ushauri na kinga dhidi ya malaria ikiwa ni pamoja na kupata chandaru kitakacho mkinga dhidi ya ugonjwa huo.Amesisitiza suala la kusafisha ameneo yote ili kudhibiti mazalia ya mbu waenezao Malaria ikiwa ni njia moja wapo ya kupambana na kuenea kwa ugonjwa huo . MKOA WA MBEYA UTATAMBULISHA FURSA ZA BIASHARA, KILIMO,VIWANDA, UWEKEZAJI NA UTALII TAREHE 27, SEPTEMBA, 2017 saa 3:00 ASUBUHI Karibuni AMOS MAKALLA MKUU WA MKOA MBEYA. MTWARA PRESS CLUB YAMPONGEZA DEOGRATIUS NSOKOLO KWA USHINDI. Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa ametoa wito kwa Taasisi, Mashirika na watu binafsi wenye uwezo wa kutengeneza barakoa (Mask) watengeneze kwa wingi. madarasa ya Uviko 19 na kuziagiza Halmashauri zote kuhakikisha miradi yote mipya. Mkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa amemuapisha mkuu mpya wa wilaya ya Mtwara Dunstan Kyobya, ambae uteuzi wake umefanywa Mei 6 mwaka huu na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dokta John Pombe Magufuli. Wilbert Kleruu, aliuawa na Mkulima aitwaye Said Mwamwindi. Mkuu wa mkoa wa mtwara Mh. KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Simiyu, Salum Msangi amemsweka rumande Mkuu wa Polisi Wilaya ya Bariadi (OCD) na Mkuu wa Kituo cha Polisi Bariadi (OCS), kwa tuhuma za rushwa.Wakati hayo yakitokea, jeshi hilo limezidi kuandamwa na kashfa baada ya baadhi ya askari wake kudaiwa kumpiga Kadogoo Kalanga (16), hadi kulazwa chumba cha wagonjwa mahututi (ICU). Juma Malewa akitoa neno la shukrani kwa Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja(katikati) mara baada ya kutoa hotuba fupi katika Baraza la kufunga Mwaka 2014 na kuukaribisha Mwaka Mpya 2015. Amesema lengo la kufunga kwa muda maduka hayo ni kuzuia wasiendelee kusambaza pembejeo hizo alizotaja kuwa zinaweza zikarudisha nyuma jitihada za wakulima katika kujikwamua kimaisha. Sep 19, 2017. 10. Wilaya ya Kakonko. Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara Bw Abdallah Malela (wa kwanza kushoto) akikabidhi zawadi ya guta kwa mmoja wa washindi wa droo ya nne ya kampeni ya Vuna Zaidi na NBC Shambani inayoendeshwa na Benki ya NBC mahususi kwa wakulima wa korosho mikoa ya Lindi na Mtwara, Bw Ally Ismail ambae ni Katibu Mkuu wa AMCOS ya Tangazo iliyopo Mkoani Mtwara wakati wa hafla ya ya kukabidhi ya zawadi mbambali kwa . Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa (kushoto) wakati alipokagua kazi ya kusafirisha korosho kwemye bandari ya Mtwara, Oktoba 1, 2019. Jumamosi, Januari 01, 2022 at 5:28 PM by Tuko.co.ke. wa Mkoa wa Iringa Queen Sendiga ameridhirishwa na kasi ya ujenzi wa vyumba vya. Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Dkt. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk John Pombe Magufuli amemteua Dunstan Kyobya kuwa mkuu wa wilaya ya Mtwara. Akiwa. HABARI MPYA. (aliyeketi katikati akiwa katika picha ya pamoja na washiriki kutoka mkoa wa Tanga. Chalamila akabidhi ofisi kwa Mkuu wa Mkoa mpya. Tumepata Baraka na Maneno Kuntu Kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Gelasius Byakanwa , Akitukaribisha kwa Moyo Mkunjufu Kabisa Vijana wake Kuipandi. Brigedia Jenerali Gaguti, ametoa kauli hiyo leo mkoani Mtwara, wakati akizungumza na waandishi wa habari . Leo Mei 15, 2021 mkoa wa Shinyanga umempata mkuu wa mkoa mpya, Dk. Uteuzi wa Anthony Mtaka kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma - makao makuu ya nchi yaliyoinuliwa hadhi zaidi wakati wa Magufuli, unatoa picha ya umuhimu wa eneo hilo kwa vile mkuu huyo mpya wa mkoa huo ni . jamhuri ya muungano wa tanzania ofisi ya rais tawala za mikoa na serikali za mitaa mkoa wa arusha kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa (regional consultative committee - rcc) wa arusha cha tarehe 16/02/2017 katika ukumbi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa arusha ofisi ya mkuu wa mkoa, s.l.p. Mtwara-Rahaleo Wito huo ameutoa leo Aprili 17, 2020 wakati akipokea msaada wa vifaa vya kujikinga na maradhi ya COVID-19 kutoka kwa kampuni ya Beijing Construction and Engineering Group CO. jengo la mkuu wa wilaya: mtwara: masasi: jengo la halmashauri ya mji masasi: mtwara: mtwara: jengo la mkuu wa mkoa: mtwara: nanyumbu: jengo la mkuu wa wilaya: mtwara: newala: jengo la mkuu wa wilaya: mtwara: tandahimba: jengo la mkuu wa wilaya: mwanza: ilemela: jengo la ofisi ya mkuu wa wilaya-buswelu: mwanza: kwimba: karibu na hospitali ya . . MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE WA CCM WALIOPITISHWA KUGOMBEA KWENYE UCHAGUZI MKUU 2020 Friday, August 21, . . Kongamano la Biashara na Uwekezaji Kati ya Tanzania na Malawi. MFAHAMU MHE. Habari Mpya Zaidi . Karibu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa mtwara ( ligula ) , tumejitolea kutoa huduma bora za afya kwa wateja wetu. Kassim Majaliwa amezindua Mwongozo wa . Mkuu wa mkoa wa Mtwara Halima Dendego amemuapisha mkuu wa wilaya mpya ya Mtwara pamoja na wajumbe wanne wa baraza la ardhi Barua Pepe: ras@mtwara.go.tz Other Contacts Sera ya Faragha Kanusho Maswali yaulizwayo mara kwa mara Ramani ya Tovuti . Na Ezekiel Mtonyole - Dodoma. Wilaya ya Buhigwe. Philemon Sengati akikabidhi nyaraka kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Uteuzi huo umetangazwa na Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Mussa Ibrahim Iyombe leo tarehe 13 March, 2016 Ikulu Jijini Dar es salaam, w . Ni ziara ya mkuu wa mkoa wa mtwara kukagua baadhi ya miradi ya vutuo vya afya pamoja na matayarisho ya ujenzi wa hospital ya halmshauri ya wilaya.Alipotembel. mganga mkuu wa mkoa wa mtwara dr wedson sichalwe akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na uzinduzi wa mpango mpya ugawaji vyandarua kwa wakina mama wajawazito na wenye watoto wa chini ya umri wa miezi tisa mkoani mtwara katika mpango wa chandarua kliniki.pamoja nae walioketi kushoto kwake ni meneja wa kinga wizara ya afya na ustawi wa jamii bi theresia shirima . Katibu Mkuu Wizara ya Afya- Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Dkt. Mtwara ni jina la mji na mkoa wa Tanzania wenye postikodi namba 63000. Pia aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Antony Mataka sasa anakuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Musoma, Zelothe Steven, amepandishwa na sasa anakuwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa. Waziri mkuu Mizengo Pinda amefanikiwa kutuliza jazba za wakazi wa Mkoa wa Mtwara kwa kuwaeleza kuwa kiwanda cha kusindika gesi ghafi kitajengwa kijijini Madimba mkoani humo ili mabaki yatokanayo na gesi hiyo yatumike kuvutia uwekezaji wa viwanda, hii ikiwa ni kauli tofauti na ya madai ya wakazi hao ambao hasira zao zilichangiwa na taarifa kwamba kiwanda hicho kingejengwa Dar es salaam. Akizungumza leo Jumanne Desemba 7, 2021 wakati wa kupokea vyumba vya madarsa 22 kutoka kwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara . Desemba 31, 2017. WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Play kuona picha zaidi. Ijumaa, Desemba 31, 2021 at 4:16 PM by Tuko.co.ke. Sophia Edward Mjema (kushoto) leo Jumanne Oktoba 12,2021 wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya ofisi yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Shinyanga. Mwaka mpya ni mwaka wa chui milia kwa kalenda ya kilimo ya China. wasifu wa kliniki ya huduma na kinga (ctc) Kituo cha ushauri nasaha na kupima cha hospitali ya rufaa ya mkoa wa pwani kilianza kazi rasmi tarehe 15 Juni,2005.Kituo kilianza na chumba kimoja kikiwa na jumla ya wateja wapatao 10.Mwaka mmoja baadae kuli. Hospitali hutoa huduma maalum na ya jumla za kitabibu , masaa 24 kwa wagonjwa wa nje na wagonjwa ndani . The official Twitter page of Ahmadiyya -Fm 99.3 MhZ ,Mtwara UPENDO KWA WOTE BILA CHUKI KWA YEYOTE Tel No-+255674555523 Email:99.3radioahmadiyya@gmail.com. Wilaya ya Uvinza. Kutoka Beijing nawatakia heri ya mwaka mpya na muwe na nguvu kama chui milia! Akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni hiyo iliyofanyika mkoani Mtwara mwishoni mwa wiki na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa zao hilo wakiwemo viongozi wa kiserikali, viongozi vyama vya msingi (AMCOS) na vyama vikuu vya ushirika, Mkuu wa mkoa wa Mtwara Brig. Mkuu. About Press Copyright Contact us Creators Advertise Developers Terms Privacy Policy & Safety How YouTube works Test new features Press Copyright Contact us Creators . Kuhusu ujio wa ndege za Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), Bombadier Q 400, Waziri huyo amemhakikishia Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Evod Mmanda, kuwa Serikali inatarajia kuanzisha safari zake kutoka Dar- Mtwara na Songea hivi karibuni. 3. Safari yake ya uongozi na harakati za kutetea haki za wananchi na raia wa Tanzania, zilianza tangu akiwa chuo kikuu cha Dar-es-salaam (UDBS-University of Dar-es-salaam Business School). Sunday, November 3, 2019. Alisema kuwa Mkoa wa Mtwara utakuwa kwa kasi kubwa baada ya wawekezaji wengi kuja kuwekeza mkoani humo ambapo alitaja kuwa kuna kiwanda cha sementi kikubwa Afrika kimeshajengwa kinachomilikiwa na Dangote tajiri mkubwa Afrika, Kiwanda cha mbolea na kiwanda cha dawa ambacho nacho kipo njiani kujengwa kwa kushirikiana na serikali ya Ujerumani hivyo kujiondoa kutoka Mtwara ni kukimbilia umasikini. Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mbeya - Home | Facebook. . Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa akiangalia Mche Mpya wa Korosho, wakati akikagua kitalu cha miche hiyo, katika kampeni ya kitaifa ya upandaji mikorosho bora na mipya milioni 10 msimu wa 2017/2018 mjini Ruangwa, mkoani Lindi. Mwaka uliopita ulikuwa mwaka wenye maana ya kipekee. Kulia kwake ni Katibu Tawala Mkoa wa Arusha Dkt. • "DC wa Mtwara Evod Mmanda amefariki majira ya saa tano usiku jana […] Wito huo ameutoa leo Aprili 17, 2020 wakati akipokea msaada wa vifaa vya kujikinga na maradhi ya COVID-19 kutoka kwa kampuni ya Beijing Construction and Engineering Group CO. 24.Mkoa wa Rukwa NKASI KUSINI - Vincent Mbogo SUMBAWANGA MJINI - Aeshi Hilary Mkuu wa mkoa wa mtwara Gelasius Gaspar Byakanwa amewapongeza wakuu wa idara manispaa Mtwara Mikindani huku akiwasihii kuendelea kushirikiana juu ya utendaji. MWONGOZO WA UWEKEZAJI WA MKOA WA MTWARA WAZINDULIWA Richard Mwaikenda. Mkuu wa mkoa wa Mtwara Halima Dendego amemuapisha mkuu wa wilaya mpya ya Mtwara pamoja na wajumbe wanne wa baraza la ardhi Rais Xi Jinping wa China atoa salamu za mwaka mpya wa 2022. Mkoa wa Kigoma. Wilaya ya Kigoma Vijijini. Enzi hizo ilikuwa inajulikana kama Faculty of . Deogratius Nsokolo, kwa kuchaguliwa mara ya pili kuwa rais wa Umoja wa Klabu za waandishi. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wakuu wa mikoa 26 ya Tanzania Bara ambapo kati yao 13 ni wapya, 7 wamebakizwa katika vituo vyao vya kazi, 5 wamehamishwa vituo vya kazi na 1 amepangiwa Mkoa Mpya wa Songwe. Aidha aliwaomba wakazi wa mkoa wa Iringa kuendeleza ushirikiano wao kwa mkuu wa mkoa mpya Bi Amina Masenza pamoja na wakuu wa wilaya wote ili kuufanya mkoa huo kuzidi kupiga hatua katika nyanja ya kimaendeleo zaidi . Mobile: +255 23 2333014 . Your Ad Spot. Kabla ya uteuai huo Kyobya alikuwa mshauri wa Rais katika maswala ya sheria ameshika nafasi hiyo baada ya aliyekuwa mkuu wa wilaya ya mkoa huo Evod Mmanda aliyefariki dunia April 27, 2020.
Henna Hand Tattoo Simple, How To Recover Outlook Account, Coventry High School Football Roster, Tablecraft Squeeze Bottle, Tennessee Baseball Schedule 2022, Aem Infinity Wizard Error, Asus K013 Tablet Specs, Long Haired Syrian Hamster Male, Vip Accounts Manager Fanduel Salary, Syska Hennessy Group Salary, Ssc Challenge Syllabus 2021, ,Sitemap,Sitemap